Posts

Showing posts from August 10, 2017

IEBC YASEMA MFUMO WAKE HAUKUDUKULIWA-Agosti 10,2017

Image
Afisa mkuu tume ya Uchaguzi Kenya Ezra Chiloba Tume ya IEBC imesema kuwa hakuna udukuzi wowote uliofanyiwa mfumo wake wa kutoa matokeo ya uchaguzi kielektroniki.

RTO KATAVI:WAMILIKI IMARISHENI MAGARI YENU KABLA YA SAFARI-Agosti 9,2017

Wamiliki wa magari katika halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani katavi wametakiwa kuhakikisha magari yao yanakuwa imara kabla ya kuyaigiza barabarani.

RC KATAVI ATAKA WATENDAJI WA VIJIJI KUWA NA DAFTARI LA WAKAZI-Agosti 9,2017

Mkuu wa Mkoa wa katavi meja jenerali mstaafu  Raphael muhuga  amewataka watendaji wote wa vijiji mkoani hapa  kuwa na daftari la wakazi katika maeneo yao.

OPARESHENI BOMOABOMOA YAENDELEA KULIZAWAKAZI MKOANI KATAVI-Agosti 9,2017

WAKAZI wa kitongoji cha Mgolokani Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi,wameiomba serikali kurejeshewa ardhi yao au kuwatafutia maeneo ya kuweka familia zao kufuatia kufukuzwa na nyumba zao kubomolewa ambapo serikali imedai kuwa wakazi hao wanaishi ndani ya misitu ya hifadhi.