Posts

Showing posts from February 13, 2016

MATUKIO YA WIKI KATAVI NA TANZANIA KWA UJUMLA FEBRUARI 8—13,2016.

Image
MKUU WA WILAYA YA MLELE ATOA SIKU 4 KWA MAAFISA HALMASHAURI ZA WILAYA ZA NSIMBO,MPIMBWE NA MLELE WAWE WAMEKABIDHI TAARIFA YA MADAWATI SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI Posted By: Issack Gerald | At: Tuesday, February 09, 2016 Na. Agness Mnubi-Nsimbo MAAFISA tarafa,Watendaji wa kata na vijiji wa Halmashauri za Nsimbo,Mlele na Mpimbwe wamepewa siku 4 za kutembelea shule za Msingi na Sekondari zilizopo katika Halmashauri zao ili kubaini upungufu wa madawati.                                                  

IDARA YA ELIMU YATOA TAARIFA RASMI MFUMO MPYA WA WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI KUFANYA MITHANI MWAKA 2016 MPANDA,SHULE ZISIZOSAJILIWA NJIAPANDA

Na.Issack Gerald-Mpanda Idara ya elimu Shule za Msingi katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,imewataka wazazi na walezi wa watoto wanaosoma katika shule ambazo hazijasajiliwa mkoani katavi ikisema kuwa kuna uwezekano wa wa kupoteza pesa nyingi na wanafunzi kukosa nafasi ya kufanya mitihani mbalimbali ya shule ya msingi inayotambuliwa na Wizara ya elimu,Sayansi,Teknolojia na ufundi.