Posts

Showing posts from August 26, 2017

OFISI ZA WANASHERIA AKIWEMO MTOTO WA RAIS FATUMA KARUME NA LAURENCE MASHA ZATEKETEA KWA MOTO USIKU WA KUAMKIA LEO-Agosti 26,2017

Image
Sehenu ya majengo ya Ofisi Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam,Lucas Mkondya amethibitisha kushambuliwa ofisi za wanasheria za IMMMA saa 8 usiku wa kuamkia leo.

MANISPAA YA MPANDA YAPATA HATI SAFI UDHIBITI HESABU ZA SERIKALI,RC APONGEZA-Agosti 26,2017

Image
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral Msaafu Raphael Mugoya Muhuga Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral mstaafu Raphael Muhuga  ameipongeza halmashauri ya manispaa ya Mpanda kwa kupata hati nzuri  ya udhibiti wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 30 mwaka 2016.

HOFU JUU YA EBOLA YATANDA MKOANI RUKWA-Agosti 26,2017

Image
Kirusi cha Ebola WAKAZI mkoani Rukwa wametakiwa kuondoa hofu kutokana na kuwepo kwa taarifa juu ya uwepo wa ugonjwa wa ebola baada ya mgonjwa mmoja kulazwa na kuendelea kupatiwa matibabu Katika hospital ya mkoa ya Sumbawanga anaeugua ugonjwa wenye dalili kama za homa ya Ebola.

RC RUKWA AZUIA UUZWAJI NJE MADINI YA CLINKER -Agosti 26,2017

Image
Bandari ya Kasanga RC-Rukwa-mbele-ya-Madini-ya-Clinker- Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amekamata na kuzuia uuzwaji wa tani 2,143 za madini aina ya “Clinker” yanayotumika katika kuzalishia saruji kutokana na wingu la ubabaishaji uliogubika usafirishaji wa madini hayo kwenda nje ya nchi hadi hapo atakapojiridhisha na utaratibu wa uuzwaji huo.