Posts

Showing posts from February 1, 2017

WAKULIMA CHAMA CHA MSINGI NSIMBO WATAKA WALIPWE PESA YAO

Image
Na.Issack Gerald-Katavi-fEBRUARI 1,2017 WAKULIMA wa zao la Tumbaku wa chama cha Msingi cha Ushirika Nsimbo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,wametaka kulipwa malipo ya mauzo ya tumbaku katika msimu wa kilimo mwaka 2015/2016. Baadhi ya mashamba ya wakulima Nsimbo