Posts

Showing posts from August 3, 2017

SHULE YA MSINGI NSAMBWE YAKABILIWA NA UPUNGUFU VYUMBA VYA MADARASA-Agosti 3,2017

Zaidi ya wanafunzi 250 wa shule ya msingi Nsambwe iliyopo kata ya Misunkumilo Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda wanalazimika kusomea nnje k utokana na upungufu wa vyumba vya madarasa.

WILAYA YA MLELE YAZINDUA MKAKATI WA MAENDELEO WA MIAKA MITANO-Agosti 3,2017

Halmashauri ya wilaya ya Mlele mkoani Katavi imezindua mpango mkakati wa miaka mitano wa maendeleo ya mwaka 2016/2017 hadi mwaka 2021.