Posts

Showing posts from September 24, 2015

AKAMATWA KITUO CHA POLISI AKISHUKIWA KUWA NA VIUNGO VYA BINADAMU

Na.Mwandishi -SINGIDA Jeshi lapolisi Mkoani Singida linamshikilia mtu mmoja anayefahamika wa jian la Magida Bundala   (30) Mkazi wa Mkoani humo wa kwa tuhuma za kukutwa   na mafuvu na viungo vinavyosadikiwa kuwa vya binadamu pamoja na nyara za serikali kinyume na sheria.

SIKUKUU YA EID KATAVI IBADA KUFANYIKA VIWANJA VYA SHULE YA MSINGI AZIMIO

Image
  Maandalizi yaibada ya hija Na.Issack Gerald-MPANDA WAUMINI wa dini ya kiislamu duniani kote leo wanasherehekea sikukuu ya Idd El Hajj baada ya kukamilika kwa ibada ya Hija.

RPC KATAVI KUHITISHA KIKAO CHA KUJADILI AMANI KESHO KIKISHIRIKISHA WAZEE MAARUFU

Na.Issack Gerald-KATAVI JESHI la polisi Mkoani Katavi kesho linatarajia kuwa na kikao maalumu cha kujadili mikakati ya kuimarisha amani na usalama wa nchi.