Posts

Showing posts from October 24, 2017

AFISA ELIMU KATAVI:TUNATATHIMINI MATOKEO DARASA LA SABA 2017 TUJUE TULIPOJIKWAA TUCHUKUE HATUA

Na.Issack Gerald-Katavi MKOA wa Katavi umesema wanajitathimini ili kubaini sababu zilizosababisha kushuka kiwango cha ufaulu katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2017.

UTATA WAIBUKA UGAWAJI VIWANJA WAHANGA WA BOMOABOMOA MKOANI KATAVI

Na.Issack Gerald-Katavi WAKAZI wa Mitaa ya Msasani na Tambukareli Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,wameeleza kutoridhishwa na mwenendo wa ugawaji viwanja katika mtaa wa kampuni kata ya Misunkumilo wanakotakiwa kuhamia.