Posts

Showing posts from December 22, 2015

MKURUGENZI HALMSHAURI YA WILAYA YA KALAMBO,ASIKITISHWA NA HALI YA ELIMU MKOANI RUKWA

Na.Issack Gerald-SUMBAWANGA MKURUGENZI   Mtendaji wa   Halmashauri ya wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa Bw. Bensoni Kilagi,amesema hajaridhishwa na matokeo ya darasa la nne na darasa la saba kwa mwaka 2015 mkoani humo.

MEYA MANISPAA YA MPANDA AOMBA HOSPITALI YA WILAYA YA MPANDA KUHARAKISHWA KUWA MALI YA MANISPAA

Image
Na.Meshack Ngumba-MPANDA SERIKALI imeombwa Kuharakisha Mchakato wa Kuibadilisha hospitali ya Wilaya Kuwa hospitali ya halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ili Kusogeza huduma za afya kwa wakazi wa Manispaa hiyo.                                                           Baadhi ya majengo Hospitali ya Wilaya Mpanda