Posts

Showing posts from November 30, 2015

DAWA ZA MAGONJWA YASIYOKUWA YANAPEWA KIPAUMBELE KUANZA KUGAWIWA KESHO KATAVI

Na.Issack Gerald-MPANDA. JAMII Mkoani Katavi imetakiwa kuzingatia utaratibu wa wataalamu wa afya juu ya matumizi ya dawa za magonjwa yasiyokuwa yanapewa kipaumbele Mkoani   hapa.

WAKAZI MKOANI KATAVI WANAOZUNGUKA HIFADHI WATAKIWA KUTOFANYA SHUGHULI YOYOTE HIFADHINI

Na.Issack Gerald-MPANDA Wananchi wanaoishi karibu na hifadhi mbalimbali Mkoani Katavi wameshauriwa   kutofanya shughuli yoyote ndani ya hifadhi pamoja na   kuzingatia sheria   ya uhifadhi ili kuendelela kuzilinda hifadhi hizo.