Posts

Showing posts from January 25, 2016

WANAWAKE WAISHI KWA MIGOGORO KATIKA NDOA KISA UCHAGUZI OKTOBA 25,2015

Image
Na.Issack Gerald-Mpanda BAADHI ya wanawake Mkoani Katavi wameiomba Serikali na wadau mbalimbali kuelimisha   jamii kwa chaguzi zijazo ili kukomesha tabia ya ukandamizaji unaofanywa na baadhi ya wanaume kwa kuwachagulia vyama vya siasa wake zao.                                                          Baadhi ya wanawake ambao wamezungumza na P5 TANZANIA (Picha na Issack Gerald)