Posts

Showing posts from September 14, 2017

AJALI YA BOTI MKOANI RUKWA,YAUA WENGINE HAWAJAJULIKANA WALIPO-Septemba 14,2017

MTOTO aliyefahamika kwa jina Yakini Said umri wa mwenye miaka miwili amekufa maji na wengine kumi na moja kuokolewa Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa baada ya boti waliyokuwa wakisafiria katika ziwa Tanganyika kupinduka.

MTU MMOJA AUWAWA KATAVI AOKOTWA KANDO KANDO YA BARABARA-Septemba 14,2017

Image
ACP Damas Nyanda MTU mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi yake,amekutwa akiwa amekufa baada ya kuuwawa na watu wasiofahamika na kisha mwili wake kutupwa kando kando ya barabara Wilayani Mpanda Mkoani Katavi.

AKAMTWA NA SILAHA YA KIVITA AINA SMG AKIJIHUSISHA NA UHALIFU NDANI NA NJE YA MKOA WA KATAVI-Septemba 14,2017

Image
Mfano wa silaya aina ya SMG JESHI la polisi Mkoani Katavi linamshikilia mtu mmoja pamoja na silaha ya kivita aina ya SMG yenye risasi 30 aliyokuwa akiitumia katika uharifu mbalimbali.

RC RUKWA AWAOMBA MADHEHEBU YA DINI KUENDELEA KUIOMBEA NCHI IWE NA AMANI-Septemba 14,2017

Image
Mhashamu baba Askofu kanisa Katholic jimbo la Sumbawanga Damian Kyaruzi MKUU wa Mkoa wa Rukwa Zelote Stephen amewaomba waumini wa madhehebu yote yaliyopo mkoani humo kuendelea kuiombea nchi amani kwani serikali ipo imara katika kuhakikisha inasimamia misingi ya sheria.

WAWILI WAFARIKI DUNIA KWA AJALI MKOANI RUKWA-Septemba 14,2017

WATU wawili Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa,wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kuanguka.

AUWAWA KWA NGUMI NA MATEKE AKITUHUMIWA KUTOHUDHURIA MSIBA WA KAKA YAKE-Septemba 14,2017

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Frank Mwanarusi(32) mkazi wa katika kijiji cha Ilemba Mjini Laela Mkoani Rukwa,ameuawa na watu sita baada ya kupigwa mateke na ngumi sehemu za ubavu wa kulia na kushoto.