Posts

Showing posts from September 10, 2017

RC TABORA ATOA MWEZI MMOJA KIWANDA CHA KUZALISHA MAFUTA YA PAMBA KIWE KINAFANYA KAZI-Septemba 10,2017

Image
SERIKALI ya Mkoa wa Tabora imetoa mwezi mmoja kwa wamiliki wa Kiwanda cha Pamba cha Manonga kuhakikisha wamekikarabati ili kiweze kuanza tena uzalishaji wa mafuta ya pamba na uchambuzi wa Pamba na kutengeneza ajira kwa vijana mkoani hapo.

RAIS JOHN MAGUFULI ATEUA JAJI MKUU WA TANZANIA-Septemba 10,2017

Image
Rais Magufuli akiwa na Jaji mteule Jaji Prof.Ibrahim Hamis Juma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli leo amemteua Mhe.Prof.Ibrahim Hamis Juma kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.

WAKUU WA MIKOA 10 AKIWEMO WA KATAVI WAAGIZWA KUSIMAMIA ZAO LA KILIMO-Septemba 10,2017

Image
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa 10 inayolima pamba nchini akiwemo mkuu wa mkoa wa Katavi,kusimamia zao hilo kwa karibu ili kuinua uzalishaji wake na kuwaongezea kipato wananchi.

MBUNGE MCHUNGAJI PETER MSIGWA AELEZA KUTORIDHISHWA NA KAULI YA IGP SIRRO-Septemba 10,2017

Image
Mbunge wa Iringa Mjini (CHADEMA) Mchugaji Peter Msigwa amefunguka na kuonyesha kutoridhishwa na kauli ya  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,IGP Simon Nyakoro Sirro kusema Tundu Lissu hakuwahi kutoa taarifa juu ya watu wanaomfuatilia.

ASKOFU GWAJIMA AFUNGUKA KUHUSU UHARIFU UNAOENDELEA HAPA NCHINI ASHANGAA VIONGOZI WA DINI KUWA KIMYA-Septwemba 10,2017

Image
Askofu Josephat Gwajima ASKOFU Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima amefunguka na kudai anawashangaa viongozi wa kiroho wanaokaa kimya na kuacha masuala ya uhalifu yakiendelea katika nchi bila ya kusema lolote juu ya hilo.