RC TABORA ATOA MWEZI MMOJA KIWANDA CHA KUZALISHA MAFUTA YA PAMBA KIWE KINAFANYA KAZI-Septemba 10,2017

SERIKALI ya Mkoa wa Tabora imetoa mwezi mmoja kwa wamiliki wa Kiwanda cha Pamba cha Manonga kuhakikisha wamekikarabati ili kiweze kuanza tena uzalishaji wa mafuta ya pamba na uchambuzi wa Pamba na kutengeneza ajira kwa vijana mkoani hapo.