Posts

Showing posts from December 31, 2015

WAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YA SIKU MBILI KIGOMA ATAJA MKAKATI WA SERIKLAI KUPANUA BANDARI ZIWANI TANGANYIKA

Image
Na.Issack Gerald-KIGOMA WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Halimashauri ya Manispa Kigoma Ujiji kwa kubuni miradi mbalimbali ya biashara katika ziwa Tanganyika na   tekinolojia mpya ya kukausha dagaa wanaovuliwa katika ziwa hilo.                                                Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua dagaa wanaokaushwa kitalaam kwa kutumia jua  wakati  alipozindua soko na mwaro wa kisasa wa samaki wa Kibirizi  mjini Kigom. Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

WAKAZI LAKI MBILI (200,000) WATESWA NA NJAA JIMBO LA UYUI TABAORA BAADHI HAWANA HATA UWEZO WA KUNUNUA KWA BEI NAFUU

Image
Na.Issack Gerald-Tabora Watu  zaidi ya 200,000 katika jimbo la Igalula Wilayani Uyui Mkoani Tabora wanakabiliwa na uhaba wa chakula ambapo zaidi ya wakazi 20,000 wakiwa hawana uwezo wakununua hata chakula cha kwa bei nafuu.