Posts

Showing posts from June 6, 2016

MATUKIO YA MAJANGA YA MOTO YAENDELEA KUTIKISA KATAVI

Jumla ya watu watatu kati ya saba waliopatwa na majanga ya moto wamefariki dunia katika matukio sita yaliyotokea yakihusisha majengo na vyombo vya usafiri.

WAISLAMU KATAVI WAJIAANDA MFUNGO WA RAMADHANI,WANAKATAVI WAPEWA NENO

Leo ni siku ya mwisho ya siku ya Shaabani katika dini ya kiislamu ikimaninisha siku ya mwisho kabla ya mfungo wa siku ya ramadhani kuanza hapo kesho.