Posts

Showing posts from July 11, 2016

WAKAZI KATAVI WAENDELEA KUCHAMBUA UTEUZI WAKURUGENZI WAPYA WAWASHAURI WAKURUGENZI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA ‘’HAPA KAZI TU’’ IPASAVYO

Image
Wakazi Mkoani Katavi wamesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uteuzi wa wakurugenzi alioufanya Julai 7 mwaka huu ni mzuri ikiwa walioteuliwa watafanya kazi kwa kuzingatia kiapo cha maadili na utumishi wa umma wanachoapa kabla ya kuanza kazi. Rais Dkt.John Pombe Magufuli                                                   

NEC YAKABIDHI RIPOTI YA TAARIFA YA UCHAGUZI KWA SERIKALI YA MKOA WA KATAVI

Image
Tume ya taifa ya uchaguzi NEC imeikabidhi serikali ya Mkoa wa Katavi ripoti ya taarifa ya uchaguzi wa udiwani,ubunge na urais uliofanyia mwaka jana Oktoba 25.