Posts

Showing posts from January 16, 2016

MATUKIO YA WIKI KATAVI NA KWINGINEKO KUANZIA JANUARI 11 – 16,2016 NA P5 TANZANIA MEDIA

ASHIKILIWA NA POLISI KATAVI KWA KUKAMATWA NA MENO   YA TEMBO KILOGRAM 50 YENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.120. Posted By: Issack Gerald | At: Tuesday, January 12, 2016 Na.Issack Gerald-Katavi Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Nzuri Ndizu (44) mkazi wa kijiji cha mbede anashikiliwa   na Jeshi la Polisi akiwa na meno 08 ya tembo vyenye uzito wa kg 50 ikiwa na thamani ya Tshs 120,000,000/= ambapo ni sawa na tembo 4 waliouawa kinume cha sheria.

MWANAFUNZI DARASA LA KWANZA MWANZA AFA MAJI AKIWA NA BABAYE,ASKARI WA UOKOAJI WAKOSA MWILI

Na.Albert Kavano-Mwanza MWANAFUNZI wa Darasa la Kwanza   katika shule ya Msingi Mabatini B Jijijni Mwanza Amefariki dunia baada ya kusombwa na maji yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha jana kwa zaidi ya saa 6,   jijini humo.

AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA SHAMBULIO LA MME WAKE

Na.Issack Gerald-Mpanda MTU mmoja mkazi wa Kawajense katika Manispaa ya Mpanda, Bi. Judith Mgawe, juzi amefikishwa katika mahakama ya Mwanzo mjini Mpanda akikabiliwa na shtaka la shambulio la kudhuru mwili dhidi ya mmewe.