Posts

Showing posts from August 3, 2016

WAKUU WA IDARA ZA ARDHI MKOANI MWANZA OFISINI HAPAKALIKI,JINO KWA JINO KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

Image
Na.Albert Kavano-Mwanza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Bw John Mongera Leo amezindua  program ya kushughulikia Migogoro ya ardhi mkoani humo na kuagiza  wakuu wa idara ya ardhi kutotoka nje ya wilaya wala kuingia ofisini siku ya jumanne badala yake wakae na kutatua migogoro hiyo. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Bw.John Mongera                 

WALIOANZISHA MAKAZI KIHOLELA KATIKA HIFADHI ZA MISITU MKOANI KATAVI KUONDOLEWA KWA NGUVU,WAKUU WA WILAYA WAPEWA RUNGU NA MKUU WA MKOA

Image
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali mstaafu Raphael Mugoya Muhuga akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake(Hawapo pichani)(PICHA NA.Issack Gerald) Agosti 3,2016 Waandishi wa habari Mkoani Katavi wakiwa katika kikao na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga(PICHA NA.Issack Gerald)Agosti 3,2016                              Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Katavi na Manispaa ya Mpanda.Safu yote ya chini ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na watumishi wake ambapo Safu ya Juu ni Ofisi za Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda na watumishi wake(PCHA NA.Issack Gerald) Agosti 3,2016                                                         Na.Issack Gerald Bathromeo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga ametoa agizo wa wakazi Mkoani Katavi wanaoishi katika hifadhi za wanyama,misitu ya hifadhi na maeneo yasiyo rasmi kuondoka wenyewe kwa hiari kabla ya kuondolewa kwa nguvu.

WAKAZI KIJIJI CHA ITENKA KUANZA UJENZI KITUO CHA POLISI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Wakazi wa Kijiji cha Itenka kilichopo Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo Wilayani Mlele Mkoani Katavi,wametangaza kuanza ujenzi wa kituo cha Polisi katika kijiji hicho. Baadhi ya akina mama katika mkutano wa kijiji(PICHA NA.Issack Gerald)

MKUU WA MKOA WA KATAVI KUZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga leo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari. Taarifa ya kikao hicho baina ya Mkuu wa Mkoa na waandishi wa habari,imetolewa jana na katibu wa mkuu wa Mkoa wa Katavi Bw.Philipo Charles. Mkuu wa Mkoa qwa Katavi Meja Jeneral Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga