Posts

Showing posts from June 1, 2016

AHUKUMIWA KIFUNGO CHA NJE MIEZI 6 KWA UBADHIRIFU WA FEDHA

Mahakama ya mwanzo mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja kifungo cha nje miezi sita kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka kwa kutumia fedha bila kufuata utaratibu wa ofisi.

TRL KATAVI KUBORESHA MIUNDOMBINU USAFIRI WA TRENI

SHIRIKA la reli mkoni katavi limeanza kuboresha miundombinu ya   Reli pamoja na mabehewa ili kutoa huduma bora ya Usafiri kwa watumiaji.