Posts

Showing posts from January 20, 2016

WAKAZI KATAVI WATAKIWA KUWA MAKINI NA MVUA KUEPUKA MAFURIKO PIA IDARA ZA MAAFA KATIKA HALMSHAURI ZOTE ZAAGIZWA KUJIPANGA KIKAMILIFU

Na.Boniface Mpagape-Mpanda MKUU wa Mkoa wa katavi Dk. Ibrahim Msengi amewataka wakazi wa mkoa huo,kuchukua tahadhari kutokana na uwezekano wa kuwepo kwa mafuriko kama ilivyotabiriwa na wataalam wa hali ya hewa.

AMPA UJAUZITO DADA YAKE WA MIAKA 14 SUMBAWANGA POLISI WAMDAKA,IDARA YA ELIMU NAKO KALAMBO HARAKATI KWA KWENDA MBELE

Na.Issack Gerald-Sumbawanga POLISI wilayani Sumbawanga Mkoani Rukwa inamshikilia mkazi wa kijiji cha Ulinji, Manispaa ya Sumbawanga mwenye umri wa miaka 28 kwa tuhuma za kumpa ujauzito dada yake mwenye umri wa miaka 14 anayesoma darasa la saba.

WANAOGOMBANIA ARDHI NSIMBO WATAKIWA KUTOKA,ELIMU BURE BADO KUELEWEKA IPASAVYO KWA WANANCHI MKUU WA WILAYA YA MLELE ATOA NENO

Na.Agness Mnubi-Nsimbo. WADAU wa Elimu katika halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi wametakiwa kuelimisha wazazi na walezi juu ya Mfumo wa elimu bure.

RADI YAUA WAWILI YAJERUHI WATATU KATAVI

Na.Issack Gerald-Katavi Watu wawili waliofahamika kwa majina ya Kupiwa Julius (28) na Lemmy Madirisha wote wakazi wa Mkazi wa Ilebura wamepigwa na radi na kufariki dunia papo hapo.