Posts

Showing posts from August 6, 2016

UNHCR WATOA MSAADA WA GARI LA MILIONI 78,732,000 KITUO CHA AFYA MISHAMO,WANANCHI HALMSHAURI WATAKIWA KULITUNZA NA KULITUMIA KATIKA MALENGO HUSIKA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Shirika la kimataifa linalojishughulisha na kusaidia wakimbizi duniani UNHCR,limetoa msaada wa gari la wagonjwa kwa kituo cha afya cha Mishamo kilichopo kata ya Mishamo tarafa ya Mishamo Wilaya Mpya ya Tanganyika Mkoani Katavi. Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Bw.Salehe Mbwana Mhando akiwasalimia wagonjwa katika kituo cha afya cha Mishamo(PICHA NA.Issack Gerald)Agosti 5,2016 Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Bw.Salehe Mbwana Mhando mwenye suti nyeusi akizungumza na (katikati) ni Mkuu wa Kituo cha Polisi Mishamo.Mkuu wa kituo Polisi Mishamo anaitwaOCS Ispecta MatongoMashaka na aliye kulia ni Afisa wa upelelezi Wilaya ya Tanganyika(PICHA NAIssack Gerald)Agosti 5,2016 Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Bw.Salehe Mbwana Mhando akitoka ndani ya Kituo cha afya Mishamo kusalimia wagonjwa(PICHA NAIssack Gerald)Agosti 5,2016                                    

MKUU WA WILAYA YA TANGANYIKA AFUTA RASMI USHURU,YEYE NA MKURUGENZI WA HALMSHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA WAACHA NAMBA ZA SIMU KWA WANANCHI ILI WAPOKEE KERO ZA WANANCHI HATA KWA SIMU

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Tanganyika  Saleh Mbwana Mhando ametangaza rasmi kufuta ushuru kwa fanyabiashara wadogo kwa wakazi wa Wilaya ya Tanganyika kama Rais wa Jamhuri ya Muungano alivyoagiza kufuta ushuru unaomkandamiza mwananchi. Baadhi ya wananchi katika Kijiji cha Ipwaga wakimpokea Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Bw.Salehe Mbwana Mhando mara baadha ya kuwasili kijiji cha Ipwaaga(PICHA NA.Issack Gerald)Agosti 5,2016 Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Bw.Salehe Mbwana Mhando akisaini katika kitabu cha wageni Kijiji Ipwaga(PICHA NA.Issack Gerald)Agost  5,2016