Posts

Showing posts from May 29, 2016

KILICHOMKUTA MAKAMU MKUU WA SHULE MKOANI KATAVI AKITUHUMIWA KULAWITI WANAFUNZI WAKE

MAKAMU Mkuu wa Shule ya Sekondari Usevya katika Halmashauri ya Mpimbwe wilayani Mlele , Makonda Ng’oka “Membele” (34) amefikishwa katika Mahakama ya mkoa wa Katavi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wake.

WANUSURIKA KIFUNGO JELA,MIFUGO YAO YATAIFISHWA MKOANI KATAVI

MAHAKAMA ya mkoa wa Katavi imetaifisha ng’ombe 1,312 walioingizwa na kuchunga ndani ya hifadhi ya wanyamapori ya Rukwa huku washtakiwa watatu wakinusurika kutumikia vifungo vya miaka miwili jela baada ya kulipa faini kati ya Sh 500,000 na 700,000.