Posts

Showing posts from July 27, 2017

MANISPAA YA MPANDA YATOA MAJIBU KUHUSU WAKAZI WA MSASANI WATAKAOBOMOLEWA MAKAZI YAO : WASIO NA UWEZO WATAPEWA VIWANJA MTAA WA KAMPUNI,WENYE UWEZO KIASI WATALIPA KIDOGOKIDOO VIWANJA VILIVYOPIMWA-Julai 27,2017

HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,imetenga viwanja vilivyopo katika mtaa wa Kampuni Kata ya Misunkumilo kwa ajili ya wakazi wa Mtaa wa Msasani watakaobomolewa makazi yao ambapo pia imesema watakaohitaji kupata viwanja vilivyopimwa ndani ya Manispaa watalazimika kulipa nusu ya gharama na kiasi kingine kulipwa baadaye.

KATIBU TAWALA WILAYA YA MPANDA AWAAGIZA MADIWANI MANISPAA YA MPANDA KUWASHIRIKISHA WANANCHI KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO NA TAARIFA ZAO ZA USHIRIKI ZIWEKWE WAZI-Julai 27,2017

KATIBU tawala Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi Bw.Sostenesi Mayoka,amewaagiza madiwani wa Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda kuwashirikisha wananchi katika shughuli za maendeleo na kuonesha taarifa sahihi za ushiriki wao katika taarifa zinazoandaliwa.

PIKIPIKI YAGONGA GARI MKOANI KATAVI,WATU 2 AKIWEMO DEREVA NA ABIRIA WAKE WANUSURIKA KIFO-Julai 27,2017

WATU wawili akiwemo dereva wa piki piki maarufu kama boda boda akiwa abiria wake,wamenusurika kifo baada ya pikipiki waliyokuwa wakisafiria kugonga gari.