Posts

Showing posts from January 14, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA ASEMA TANZANIA ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA RWANDA

Na.Issack Gerald WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Rwanda nchini, Eugene Kayihura. Ambapo amemuahidi kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Rwanda.

WAWILI MANISPAA YA MAPANDA WAFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA WAKITHUMIWA KUIBA NAKUPORA MALI ZENYET THAMANI KARIBU MIL.2.

Na.Boniface Mpagape-MPANDA MKAZI wa Makanyagio katika Manispaa ya Mpanda, Bw. Reuben Remi amefikishwa katika mahakama ya mwanzo mjini Mpanda akikabiliwa na shtaka la kuvunja duka na kuiba nguo zenye thamani ya shilingi milioni moja na laki nne na elfu arobaini.

MABALAZA YA MADIWANI MPANDA KUANZA VIKAO VYAKE LEO

Image
Na.Issack Gerald-Mpanda Balaza la madiwani Manispaa ya Mpanda leo linatarajia kuanza vikao vyake kujadili masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya wananchi.                                              Moja ya mambo yanayoifanya Mpanda kupewa Manispaa ya Mpanda