Posts

Showing posts from October 10, 2017

HALMASHAURI YA WILAYA NSIMBO MKOANI KATAVI WANAFUNZI 14 WAPATA UJAUZITO

Image
Na.Issack Gerald-Nsimbo Katavi Moja ya picha ya wanafunzi Mkoani Katavi JUMLA ya wanafunzi 14 katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi,wamepata ujauzito katika kipindi cha mwezi Januari hadi juni mwaka huu.