Posts

Showing posts from January 19, 2016

WATATU KATA YA MPANDA NDOGO WAFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA WAKITUHUMIWA KUJIPATIA SHILINGI MIL.3,400,000/= KWA NJIA YA UDANGANYIFU

Na.Issack Gerald-Mpanda WATU wawili wakazi wa kata ya Mpanda ndogo wilayani Mpanda mkoani Katavi, jana wamefikishwa katika mahakama ya mwanzo mjini Mpanda wakikabiliwa na shtaka la kujipatia fedha shilingi milioni tatu na laki nne kwa njia ya udanganyifu.

WAZIRI MKUU AELEZA MIKAKATI YA SERIKALI KUFUNGUA VIWANDA VYA NGOZI DAR, GEITA NA SHINYANGA

Image
Issack Gerald-DAR ES SALAAM WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema,Serikali imepanga kufungua viwanda vya kusindika ngozi kwenye mikoa ya Shinyanga, Geita na Dar es Salaam ili kutoa soko kwa ngozi za wanyama wanaochinjwa kwenye machinjio ya mikoa hiyo.                                              Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watanzania waishio Botswana baada ya kuhudhuria mkutano wa SADC mjini Gaborone Januari 18, 2016. Waziri

AFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA KWA TUHUMA ZA KUDHURU MWILI

Na.Boniface Mpagape-Mpanda MTU mmoja mmoja mkazi wa Kasokola wilayani Mpanda Bw. Godfrey Kipyela, jana amefikishwa katika mahakama ya Mwanzo mjini Mpanda akikabiliwa na shtaka la kudhuru mwili.

WAKURUGENZI WAWILI WATUMBULIWA MAJIPU YUMO WA SULEIMANI LUKANGA WA MANISPAA YA MPANDA

Image
Na.Mwandishi wetu-DAR ES SALAAM MKURUGENZI Mtendaji Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Suleiman Lukanga,amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuridhia na kutekeleza uamuzi ulioisababishia serikali hasara na upotevu wa fedha.                                                         Waziri George Simbachawene

WATATU WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA MAKOSA MBALIMBALI LIKIWEMO SHAMBULIO LA MWILI.

Na.Issack Gerald-MPANDA VIJANA watatu wakazi wa Mpanda mjini jana wamefikishwa katika mahakama ya Mwanzo mjini Mpanda, wakikabiliwa na shtaka la shambulio la kudhuru mwili.

KATAVI YAPOKEA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 80 ZA KUGHARIMIA ELIMU BURE.

Na.Issack Gerald-Katavi Mkoa wa Katavi umepokea Zaidi ya Shilingi Milioni 80 kwa ajili ya kugharimia mpango wa serikali wa elimu bure kwa wanafunzi kuanzia Chekechea hadi   kidato cha nne.