Posts

Showing posts from October 7, 2017

ORODHA KAMILI YA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI WA RAIS MAGUFULI ALILOTANGAZA LEO

Image
Na.Issack Gerald-Mpanda Katavi Rais Dkt John Magufuli wa Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli  leo amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kwa kuongeza idadi ya Wizara, kuteua Mawaziri na Naibu Mawaziri wapya na kuwahamisha Wizara baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri.

ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA MANISPAA YA MPANDA

Image
Jengo la Ofisi za Manispaa ya Mpanda na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi Na.Issack Gerald-Katavi Zaidi ya shilingi bilioni 11,750,000,000  zimetengwa kwa ajili ya kuboresha barabara katika Halmashauri ya Manispaa ya  Mpanda Mkoani Katavi.

BREAKING NEWS: RAIS MAGUFULI AFANYA MABADILIKO KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI,ATEUA PIA MAWAZIRI

Image
Rais Dkt John Magufuli wa Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli,amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri.