Posts

Showing posts from May 19, 2016

PEMBEJEO ZA RUZUKU MSIMU WA KILIMO 2015/2016 ILIKUWA CHANGAMOTO TUPU KWA WAKULIMA MANISPAA YA MPANDA

WAKATI msimu wa kilimo wa mwaka 2016/2017 ukitarajia kuanza mwezi Septemba mwaka huu,ripoti ya matumizi ya pembejeo Katika msimu uliopita wa 2015/2016 katika Manispaa ya Mpanda imeonesha kuwa ilitumia jumla ya pembejeo 27813 kati ya 32145 zilizoletwa katika Manispaa hiyo zimetumika.

WIZI WA SHUKA,GODORO NA FEDHA VYAMFIKISHA MAHAKAMANI MPANDA

Mtu mmoja mkazi wa kata ya Nsemulwa Wilayani Mpanda amefikishwa katika mahakama ya Mwanzo Mjini Mpanda kwa kosa la wizi wenye vitu vyenye thamani ya kiasi cha zaidi   ya shilingi laki tatu.