Posts

Showing posts from September 25, 2015

BUASARA,HEKIMA,LUGHA ZENYE HESHIMA ZATAKIWA KUTUMIKA MIKUTANO YA KAMPENI ZA KISIASA KATAVI

 Na.Issack Gerald-Katavi Busara,hekima na lugha zenye heshima   zimetakiwa kutumiwa na wanasiasa na jamii kwa ujumla katika kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi ili kuepuka kuitumbukiza nchi katika machafuko yanayohatarisha usalama wa Watanzania.

WAKAZI KATAVI WATAKA ELIMU NA KILIMO KUPEWA KIPAUMBELE NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

Issack Gerald-MPANDA. ZIKIWA zimebakia siku 29 kufanyika kwa uchuguzi mkuu wa udiwani ubunge na raisi wananchi wameitaka   serikali ya awamu ya tano iboreshe   sekta ya elimu na kilimo.