Posts

Showing posts from February 12, 2017

MKUU WA WILAYA YA TANGANYIKA AKABIDHI HUNDI YA SHILINGI MILIONI 56.75 KWA VIKUNDI VYA WAJASILIAMALI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Tanganyika Katavi (Februari 5,2017 MKUU wa Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi Salehe Mbwana Mhando,amekabidhi hundi ya shilingi milioni 56,750,000 ambayo ni mkopo kwa vikundi 32 vya wajasiliamali katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda. Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Salehe Mhando (Mwenye shati nyeupe pichani) akikabidhi mfano wa hundi ya mkpo kwa wajasilimali mbele ya ofisi za kata ya Kabungu.PICHA NA Issack Gerald Februari 5,2017