Posts

Showing posts from September 13, 2017

TANESCO MKOANI KATAVI WAMEWASHA UMEME WA REA WILAYANI MLELE-Septemba 13,2017

Image
SHIRIKA la umeme Nchini Tanesco Mkoani Katavi limewasha umeme wa mradi wa umeme vijijini Rea Wilayani Mlele Mkoani Katavi na kuwataka wananchi Wilayani humo hususani wakazi wa mji wa Inyonga ambayo ni makao Makuu ya Wilaya watandaze nyaya zao katika nyumba ili waunganishiwe umeme.