Posts

Showing posts from September 29, 2017

WAZEE MKOANI KATAVI WAOMBA SERIKALI IWATENGENEZEE MAZINGIRA RAFIKI KATIKA MASUALA YA MATIBABU-Septemba 29,2017

Na.Issack Gerald-Katavi UMOJA wa wazee Mkoani Katavi kimeiomba serikali kuendelea kutengeneza mazingira yatakayomwezesha mzee kupatiwa huduma za matibabu bila usumbufu.

VIBOKO MKOANI KATAVI WASABABISHA NDOA KUVUNJIKA PIA UHARIBIFU WA MAZAO SHAMBANI-Septemba 29,2017

Image
Mfano wa picha ya viboko vinavyopatikana mto sitalike mkoani katavi Na.Issack Gerald-Katavi WAKAZI wa kijiji cha Milala Kata ya Misunkumilo katika Manispaa ya Mpanda,wameilalamikia serikali kutochukua hatua dhidi ya viboko waliopo bwawa la Milala vinavyoharibu mazao shambani na kutishia uhai wa binadamu mara kwa mara.