Posts

Showing posts from August 14, 2016

NAIBU WAZIRI JAFO AZINDUA MRADI WA MAJI NSIMBO WILAYANI MLELE

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Naibu  Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa(Tamisemi), Mh.Selemani Jafo akiwa na mwenyeji wake Mbunge wa Jimbo la Nsimbo  Richard Mbogo amezindua mradi mkubwa wa maji Katika kijiji cha mwenge.                                                 

KATIBU TAWALA MKOA WA KATAVI AAGIZWA KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA KUMHUSU AFISA MIPANGO MANISPAA YA MPANDA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Naibu Waziri Suleiman Jafo akiwa kwenye picha ya pamoja na wakandarasi wanaojenga stendi ya mabasi mpanda. (PICHA NA.Issack Gerald) NAIBU Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi),Selemani Jafo ameendelea na ziara yake leo mkoani Katavi ambapo amemuagiza Afisa Tawala wa Mkoa wa Katavi kuunda timu ya uchunguzi ili  kuchunguza tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka kwa Afisa Mipango miji wa Manispaa ya Mpanda ambapo anatuhumiwa kuchukua maeneo ya wananchi bila utaratibu. Naibu Waziri Suleiman Jafo akiwa na walimu wa shule ya sekondari Kabunga(PICHA NA.Issack Gerald)