Posts

Showing posts from October 7, 2016

MKUU WA MKOA WA KATAVI APOKEA SHILINGI 500,000/= KUTOKA MUKABUBINGA KWA AJILI WAATHIRIKA TETEMEKO LA ARDHI KAGERA,FEDHA ILIYOCHANGWA YAFIKIA MIL. 13,344,600 KUWASILISHWA KAGERA JUMATATU.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo - Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral mstaafu Raphael Muhuga amepokea Shilingi laki tano kutoka kwa MUKABUBINGA ambao ni Umoja wa wanakagera waishio Wilayani Mpanda ambapo fedha hiyo ni kwa ajili ya kuwachangia waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea Mkoani Kagera. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi na Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald) Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga(PICHA NA.Issack Gerald)