Posts

Showing posts from August 26, 2016

JESHI LA POLISI MKOANI KATAVI WAFANYA MAZOEZI KUPAMBANA NA UHARIFU,WANANCHI MITAANI WAKUMBWA NA TAHARUKI.

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi JESHI la Polisi Mkoani Katavi limetoa onyo kwa watu watakaosababisha ukosefu wa amani katika Mkoa wa Katavi likisema kuwa halitawafumbia macho watu hao na badala yake Jeshi hilo litachukua hatua kali za kisheria kukomesha vitendo vya uharifu.

TRA RUKWA NA KATAVI YAENDESHA SEMINA KUHUSU MFUMO MPYA ULIPAJI KODI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Mpanda WAFANYABIASAHARA mikoa ya Rukwa na Katavi wametakiwa kutofumbia macho vikwazo vinavyotokana na mfumo mpya wa ulipaji kodi na badala yake watoe taarifa na maoni ili kuangalia kama kuna uwezekano wa kuondoa vikwazo hivyo ili wafanye biashara zao kwa uhuru.