Posts

Showing posts from November 19, 2015

WAZIRI MKUU KASSIMU MAJALIWA NI NANI?SOMA HAPA

Image
  Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa Waziri Mkuu mteule wa Tanzania, Kassim Majaliwa, alizaliwa Disemba 22, 1960 Wilayani Ruangwa Mkoani Lindi.

MAJALIWA KASSIMU MAJALIWA WAZIRI MKUU WA 11 TANZANIA TANGU UHURU WA TANGANYIKA

Image
  Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika kikao cha kwanza katika mkutano wa kwanza wa bunge la 11 kumchagua Waziri mkuu wa Tanzania na Naibu Spika Na.Mwandishi wetu-DODOMA Mbunge wa Ruangwa Majaliwa Kassim Majaliwa ameidhinishwa na Bunge la Tanzania kuwa waziri mkuu mpya wa Tanzania.

MANISPAA YA MPANDA KUFANYA TAFRIJA KESHO KUWAPONGEZA WALIMU KWA KUFAULISHA WANAFUNZI DARASA LA SABA NA KUWA NAMBA MOJA KITAIFA

Na.Issack Gerald-Mpanda Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani katavi inatarajia kufanya tafrija ya kuwapongeza walimu kwa matokeo mazuri ya darasa la saba yaliyopelekea Manispaa ya Mpanda kushika nafasi ya kwanza kitaifa 2015.