Posts

Showing posts from August 11, 2015

WAKULIMA,WAFUGAJI MPANDA WATOA MAONI KUHUSU SHEREHE ZA NANENANE

NA.Issack Gerald-Mpanda SIKU mbili baada ya maonesho ya kilimo na ufugaji   maarufu kama nane nane, baadhi ya wakulima   pamoja na wafugaji Mkoani Katavi wametoa maoni na mapendekezo kuhusu sekta ya kilimo.

UHAKIKI DAFTARI LA MPIGA KURA NSIMBO WAFANYIKA

NA. Agness Mnub- KATAVI ZOEZI la Kuhakiki taarifa katika daftari la Kudumu la Mpiga Kura limeanza Katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi Kufuatia Tangazo lililotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi juu ya Zoezi hilo.

WANASIASA KIKWAZO UTEKELEZAJI AGIZO LA MKURUGENZI

NA. Alinanuswe Edward-Katavi Wanasiasa wamedaiwa kuchangia kukwamisha utekelezaji   wa agizo la Manispaa ya mpanda lilitolewa mwishoni mwa mwezi mei likiwataka watu wote wanwanaosafisha magari yao katika mto misunkumilo kuacha mara moja.