WANASIASA KIKWAZO UTEKELEZAJI AGIZO LA MKURUGENZI


NA. Alinanuswe Edward-Katavi
Wanasiasa wamedaiwa kuchangia kukwamisha utekelezaji  wa agizo la Manispaa ya mpanda lilitolewa mwishoni mwa mwezi mei likiwataka watu wote wanwanaosafisha magari yao katika mto misunkumilo kuacha mara moja.

Akihojiwa na P5 TANZANIA Afisa mtendaji wa mtaa wa misunkumilo Bw Antpasi Kalumbe amesema utekelezaji  wa agizo hilo umeingia dosari kutokana na vizingiti vya baadhi ya wanasiasa
Kalumbe ameongeza kusema kuwa mpaka sasa hatua kali zimekwishachukuliwa kwa baadhi ya wanaokaidi   licha ya kuwa na taarifa za agizo hilo.
Kwa upande wa vijana wanao jihusisha na kusafisha magari katika mto huo wamekiri kupata taarifa hizo ambapo wamesema kuwa wanashindwa kuondoka katika eneo hilo kutokana na hofu ya kupoteza ajira.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA