Posts

Showing posts from October 14, 2017

MLIPUKO WA BOMU UMEUA WATU 30 SOMALIA

Image
Mji wa Mogadishu umekuwa ukilengwa na kundi la wapiganaji wa al-Shabab ambalo linakabiliana na serikali. Shambulio la bomu kubwa limewaua watu takriban watu 30 katika mji mkuu wa Mogadishu nchini Somalia.

RAIS AMEWAJIBU SHIRIKISHO L VYAMA VY AWAFANYAKAZI TUCTA

Image
Rais John Pombe Magufuli amesema serikali ya awamu ya tano imewapandisha vyeo na kurekebisha mishahara ya watumishi 59,967 baada ya zoezi la uhakiki wa vyeti feki  hewa kukamilika.

SHEIKH PONDA AACHIWA KWA DHAMANA

Image
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemwachia kwa dhamana Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda.

SIMULIZI YA MAUAJI YA WANANDOA YALIYOTKEA USIKU WA KUAMKIA LEO MKOANI KATAVI

Image
Na.Issack Gerald-Tanganyika Katavi WANANDOA Adamu Mtambo(41) na mkewe  Catalina  Mtambo(39 )wakazi  wa Kitongoji cha Kasekese  B  Kata ya  Kasekese wilayani Tanganyika   Mkoani Katavi  wameuawa  kwa  kukatwa mapanga wakiwa wamelala  chumbani kwao.

RAIS MAGUFULI-MWENYE UTAENDELEA NA MBIO ZAKE KAMA KAWAIDA NIKIWA MADARAKANI

Image
Na.Issack Gerald-Zanzibar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli amesema katika kipindi chake cha uongozi,Mwenge wa Uhuru utaendelea kukimbizwa nchi nzima kila mwaka.

MAUAJI TENA MKOANI KATAVI,SASA MITHILI YA KIBITI USIKU WA KUAMKIA LEO WASIOJULIKANA WAMEUA TENA MKE NA MME,KATIKA SIKU SABA IDADI YAFIKIA WATU 5 WAKIWEMO WANAOPIGWA KWA RISASI

Image
Na.Issack Gerald-Tanganyika Katavi Watu wawili mke na Mme wanaofahamika kwa majina ya Adam Charles (41) na Katalina Gabriel (39) wakazi wa Kijiji cha Kasekese Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi kwa kukatwakatwa na vitu vinavyosemekana kuwa vyenye ncha kali na watu wasiojulikana.

NDEGE YA MIZIGO IMEANGUKA IVORY COAST

Image
Mabaki ya ndege hiyo aina ya Turboprop yalisombwa hadi katika ufukwe ambapo waokoaji walionekana wakiwatibu watu walionusurika. Ndege moja ya mizigo nchini Ivory Coast imeanguka katika bahari muda mfupi baada ya kuondoka mji mkuu wa Abidjan huku watu watatu wakidaiwa kufariki na wengine wakijeruhiwa.

WANAFUNZI 5 NA MLINZI WAMEKUFA KWA WAPIGWA RISASI

Image
Wanafunzi watano na mlinzi mmoja wamepigwa risasi na kuuawa katika shambulio la asubuhi,katika shule moja ya upili Kaskazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Sudan Kusini.

OPAREHENI YANUKIA WILAYANI TANGANYIKA, USALAMA KWA RAIA UTAKUWEPO?

Image
DC Tanganyika Salehe Mbwana Muhando Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Salehe Muhando amewataka wananchi wanaoishi   Kalumbi katika kijiji cha Mpembe, Lyamgoloka katika eneo la ushoroba wa wanyama,Igalukilo, Bariadi na Misanga Wilayani humo   kuondoka haraka katika maeneo hayo.