Posts

Showing posts from December 23, 2015

WAKUU WA MIKOA,WILAYA NA WAKURUGENZI HALMASHAURI NCHINI WATAKIWA KUDHIBITI MIGOGORO YA ARDHI

Image
Na. OFISI YA WAZIRI MKUU,   WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wanaongeza udhibiti na usimamizi wa migogoro ya  ardhi kwenye maeneo yao husika.                                                                  Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majliwa akisalimia na waakazi Jimboni Kwake Ruangwa

BREAKING NEWS : KAIMU MKURUGENZI WA TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD ASIMAMISHWA KAZI

Image
Na.Ofisi ya Waziri-DAR ES SALAAM. Kaimu mkurugenzi wa taasisi ya saratani ya Ocean Road Dk.Diwani Msemo amesimamishwa kazi.                                                        Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu

MKURUGENZI MKUU RAHCO ASIMAMISHWA KAZI

Image
Na.OFISI YA MAWASILIANO YA IKULU. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk.John Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli Tanzania (RAHCO), Benhadard Tito.                                                 Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli