Posts

Showing posts from December 3, 2015

WASAFIRI MPANDA WALALAMIKA TRENI KUTOSAFIRISHA ABIRIA KWA MUDA MWAFAKA

Na.Issack Gerald-MPANDA Wasafiri wa treni mkoani katavi wamelalamikia suala la kukaa muda mrefu kwenye kituo cha treni kiasi kinachowafanya kushindwa kusafiri kwa wakati unaotakiwa.

WALEMAVU KATAVI WAOMBA MITAJI NA MIRADI YA MAENDELEO KUONDOKANA NA UMASKINI

Na.Issack Gerald-MPANDA Watu wenye ulemavu mbalimbali Mkoani Katavi wameiomba serikali ya Tanzania kuwapatia miradi ya maendeleo   pamoja na kujenga miundombinu rafiki kwao itakayowasaidia kupunguza ugumu   wa maisha.