Posts

Showing posts from September 17, 2015

KATAVI KUFANYA MKUTANO WA MAZINGIRA WIKI IJAYO

Issack Gerald-MPANDA . MKOA Wa Katavi unatarajia kufanya Mkutano na wadau wa mazingira   ili kutafuta suluhisho la kukabiliana na uhalibifu wa   Mazingira uliokithiri Katika   maeneo mbalimbali Mkoani hapa.

MWANAUME MMOJA AKUTWA AKIWA AMEKUFA WILAYANI MLELE

Issack Gerald-KATAVI MTU Mmoja jinsia ya Kiume ambae hakutambulika jina wala umri wake ameuwawa   kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali katika kijiji cha tumaini kata ya Itenka Wilayani Mlele.