Posts

Showing posts from May 16, 2016

JIONEE HII KALI: WAKAZI MTAA WA MSASANI MANISPAA YA MPANDA WATESWA NA KUNGUNI,WAOMBA SERIKALI IWASAIDIE DAWA YA KUWAUA

Image
Katika hali isiyokuwa ya kawaida,wakazi wa Mtaa wa Msasani Kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,wameiomba serikali kuwasaidia kupatikana dawa ya kuua wadudu aina ya KUNGUNI ambapo walisema kuwa wameshindwa kupata hata usingizi usiku.