Posts

Showing posts from May 9, 2016

WATUHUMIWA WAWILI KATAVI AKIWEMO MCHUNGAJI KANISA LA MORAVIAN MBARONI KWA KUKUTWA NA MENO YA TEMBO YAKIWA YAMEHIFADHIWA KANISANI.

JESHI la Polisi mkoa wa Katavi linawashikilia watu wawili akiwemo mchungaji wa kanisa la Moravian Usevya mkoani Katavi kwa kosa la kukutwa na vipande 11 vya meno ya Tembo vyenye uzito wa kilogram 20.3.