Posts

Showing posts from February 5, 2016

HOTUBA YA MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA PILI WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 5 FEBRUARI, 2016

Image
Na.Issack Gerald - Dodoma HOTUBA YA MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA PILI WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 5 FEBRUARI, 2016 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiahirisha mkutano wa pili wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bunge la 11 mjini Dodoma leo hadi Aprili 19 2016 utakapofanyika mkutano mwingine

PICHA ZA SIKU YA SHERIA DUNIANI MKOANI KATAVI

Image
Picha ya pamoja watumishi wa mahakama na wadau wengine wa sheria,wa tatu kutoka (kushoto) waliokaa ni mgeni rasmi wa sherehe hizo ambaye ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dk.Yahya Hussein akimwakilisha Mkuu wa Mkoa na Mwanake pekee katika Picha ni Farhat Seif wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoani Katavi(PICHA na Issack Gerald) Picha ya pamoja watumishi wa mahakama na wadau wengine wa sheria,wa tatu kutoka (kushoto) ni mgeni rasmi wa sherehe hizo ambaye ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dk.Yahya Hussein akimwakilisha Mkuu wa Mkoa na Mwanake pekee katika Picha ni Farhat Seif wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoani Katavi(PICHA na Issack Gerald) Picha ya pamoja watumishi wa mahakama na wadau wengine wa sheria,wa tatu kutoka (kushoto) ni mgeni rasmi wa sherehe hizo ambaye ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dk.Yahya Hussein akimwakilisha Mkuu wa Mkoa na Mwanake pekee katika Picha ni Farhat Seif wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoani Katavi(PICHA na Issack Gerald) Vijana wa sarakasi

KUJENGWA MAHAKAMA KATIKA MAKAZI MAPYA YA KATUMBA NA MISHAMO KATAVI KWAPUNGUZA UHARIFU

Na.Issack Gerald-Mpanda Kujengwa kwa mahakama ya mwanzo katika eneo la makazi ya Mishamo na Katumba kumepunguza kiwango cha uharifu ambao umekuwa ujitokeza katika makazi hayo.