Posts

Showing posts from September 27, 2017

WANAFUNZI 417 WAKATISHA ELIMU WILAYANI MLELE-Septemba 27,2017

Na.Issack Gerald-Mlele Katavi ZAIDI ya wanafunzi 417 wa sekondari katika halmashauri ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wamekatisha masomo yao kwa kipindi cha kati ya mwaka 2014 na 2016 kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mimba na utoro Hali hiyo imebainishwa na Afisa elimu idara ya Sekondari Bw.Sylivanus Raphael Kunambi ambapo amesema kuwepo changamoto ya wanafunzi kuikatisha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro na mimba. Kunambi amesema kwa mwaka 2014 wanafunzi 108 sawa na asilimia 17.4 ya wanafunzi wote waliokuwa wamesajiliwa katika mwaka huo hawakuhitimu huku mwaka 2015 idadi ya wanafunzi ambao hawakumaliza masomo yao ikiongezeka na kufikia 160 sawa na asilimia 22.9  wakati huo kwa mwaka 2016 wanafunzi 149 sawa na asilimia 20 ya wanafunzi wote waliokuwa wamesajiliwa wakishindwa kuhitimu elimu ya sekonadri.. Aidha ametaja sababu nyingine inayosababisha wanafunzi kutohitimu elimu ya Sekondari ni pamoja na jamii ya wafugaji wanaohama hama katika wilaya ya Mlele hali am

NDUGU 6 MKOANI RUKWA WAHUKUMIWA KUNYONGWA-Septemba 27,2017

Image
Na.Issack Gerald-Sumbawanga Rukwa NDUGU sita wa familia moja wamehukumiwa kifo kwa kunyongwa baada ya kuthibitika Kuwa walimuua ndugu yao wakimtuhumu Kuwa ni mchawi.

MBUNGE JIMBO LA NSIMBO ATUHUMIWA KUJIHUSISHA NA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI WA UVCCM WILAYANI MPANDA KATAVI -Septemba 27,2017

Image
Mbunge Jimbo la Nsimbo Richard Mbogo MBUNGE wa jimbo la Nsimbo wa jimbo la Nsimbo Richard Philipo Mbogo ametuhumiwa kuwa miongoni mwa watu waliohusika katika kutoa rushwa ya fedha kwa kila mjumbe aliyeshiriki katika uchaguzi wa viongozi wa Jumuiya ya Vijana ya chama cha Mapinduzi CCM Wilayani Mpanda.

CHADEMA WAENDELEA NA UCHAGUZI WA VIONGOZI NGAZI YA MITAA-Septemba 27,2017

Image
Na.Issack Gerald-Mpanda Katavi Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoani Katavi kimewataka wanachama wake kuwa watulivu katika kipindi cha uchaguzi mdogo unaojulikana kama chadema msingi.

CCM WILAYANI MPANDA WAPATA VIONGOZI WAKE JUMUIYA YA WAZAZI,UVCCM NA UWT-Septemba 26,2017

Image
Na.Issack Gerald-Mpanda Katavi JUMUIYA ya wazazi ya chama cha Mapinduzi CCM Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,imemchagua Bw.Abdalah Mtwenya Kapongolola kuwa mwenyekiti atakayeiongoza jumuiya hiyo mpaka mwaka 2022.