Posts

Showing posts from May 17, 2016

RIPOTI KAMILI YA TUHUMA ZA MENO YA TEMBO: MCHUNGAJI KANISA LA MORAVIAN WILAYANI MLELE AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUKAMATWA NA MENO YA TEMBO YENYE ZAIDI YA SHILINGI MIL.90

MCHUNGAJI wa kanisa la Moravian wilaya ya mlele  mkoni Katavi Gonweli Siame amefikishwa mahakamani katika mahakama ya hakimu mkazi  mkoa wa katavi kwa kosa la uhujumu uchumi kwa kukutwa na meno ya tembo yenye thamani zaidi ya million 90.

DIWANI KATA YA KATUMBA WILAYANI MPANDA KIZIMBANI KWA RUSHWA YA ZAIDI YA SHILINGI MIL.1

TAASISI ya Kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU  mkoa wa Katavi imemfikisha kizimbani  diwani wa kata ya Katumba  kwa kosa la kujihususha na vitendo vya rushwa.