Posts

Showing posts from August 15, 2017

MADAI YA WAKAZI WA KITONGOJI CHA MGOLOKANI MKOANI KATAVI KUDAI KUWAMIWA NA SERIKALI NA KUBOMOLEWA MAKAZI YAO WAKATI WA OPARESHENI YA KUWAONDOA WAVAMIZI WA HIFADHI ZA MISITU KUWAKUTANISHA VIONGOZI WA WILAYA YA MPANDA KUSAKA SULUHU-Agosti 15,2017

Image
HALMASHAURI ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi ijumaa ya wiki hii,inatarajia kukutana na Uongozi wa Wilaya ya Mpanda pamoja na viongozi wa hifadhi ya misitu Wilayani Mpanda, kujadili madai ya wananchi wa kitongoji cha Mgolokani kilichopo kijiji cha Matandalani kata ya Sitalike halmashauri ya Nsimbo wanaodai kuvamiwa na Serikali na kuharibu makazi yao kwa madai yanayotolewa na serikali kuwa wakazi hao wamejenga makazi yao katika eneo la hifadhi ya misitu.

WAZIRI WA AFYA MH.UMMY MWALIMU KUWASILI KESHO MKOANI KATAVI KUZINDUA ZOEZI LA UPIMAJI WA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA-Agosti 15,2017

Image
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu WAZIRI wa Afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto Mh.Ummy Mwalimu anatarajia kuwasili kesho mkoani Katavi kwa ajili ya kuzindua zoezi la siku  tano la upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza.