Posts

Showing posts from September 1, 2017

WAISLAMU KATAVI WATAKIWA KUWA WAMOJA NA WENYE MOYO WA HURUMA-Septemba 1,2017

Image
WAISLAMU mkoani Katavi wametakiwa kuwa wamoja na wenye mshikamano katika hali mbalimbali ya maisha ya kila siku wanayopitia bila kujali itikadi ya chama,rangi,dini,kabila wala taifa analotoka kwa kuwa wote ni binadamu ambao wameumba na mwenyezi mungu.

SITA WAHUKUMIWA MIAKA 20 JERA KWA JARIBIO LA KUUA,YUMO MWENYE UALBINO ALIYEKATWA MKONO-Septemba 1,2017

Image
MAHAKAMA Kuu  ya Tanzania Kanda ya Sumbawanga  imewahukumu  washtakiwa  sita   kati ya kumi kifungo cha miaka 20 jela baada  ya  kuwatia hatiani kwa makosa mawili ya kula njama ya kuua na jaribio la kumuua mtoto mwenye  ulemavu wa  ngozi ‘albino” Mwigulu Matonange (13) kwa kumkata mkono wake wa kushoto .