Posts

Showing posts from July 25, 2017

PRF.LIPUMBA AWAVUA UANACHAMA WABUNGE 8 WA CUF NA MADIWANI 2-Julai 25,2017

Image
Profesa Lipumba Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama cha Wananchi (CUF) limewavua uanachama wabunge wanane wa chama hicho kwa madai ya utovu wa nidhamu ikiwa ni pamoja na kukisaliti chama hicho.

RAIS MAGUFULI AHITIMISHA ZIARA YA SIKU 7 MIKOA YA KIGOMA,TABORA,KAGERA NA SINGIDA,YAFAHAMU YALIYOJILI KATIKA ZIARA HIYO-Julai 25,2017

Image
Rais wa Tanzania John Magufuli akizungmza na wananchi wa Singida Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Julai, 2017 amekamilisha ziara yake ya kikazi ya siku 7 katika Mikoa ya Kagera, Kigoma, Tabora na Singida kwa kufungua barabara ya Itigi – Manyoni Mkoani Singida.

RAIS MAGUFULI AUNGANA NA WATANZANIA KUYAOMBEA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA-Julia 25,2017

Image
Rais John Maguli akikata utepe kuashirika kuzindua barabara ya lami ya Manyoni-Itigi kwa kiwango cha lami(picha na Mtandao) RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Pombe Magufuli, amesema katika kuadhimisha siku ya mashujaa inayoadhimishwa Julai 25 ya kila mwaka,unaungana na watanzania wote kuyakumbuka majeshi yote yaliyopigania na wanaoendelea kupigani amani ya nchi na kuifanya Tanzania kuwa kimbilio wa watu wengi.

MADIWAMI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA WAAGIZWA KUSIMAMIA USAFI WA MASOKO-Julai 25,2017

Image
Kutoka Kulia ni Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda Mh.Hamad Mapengo(PICHA Kwa hisani ya Mtandao MADIWANI wametakiwa kuhakikisha masoko yaliyopo katika Halmashauri zao yanafanyiwa usafi ili wafanyabiashara watoe ushuru kwa wakati na bila shida.

UCHOMAJI NYUMBA ZA WAKAZI WA KATA YA LITAPUNGA HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO MKOANI KATAVI,WANANCHI WALALAMIKA,MBUNGE ALAANI TUKIO HILO,JESHI LA POLISI KATAVI LASEMA LINA TAARIFA YA OPARESHENI HIYO KUFANYIKA LAKINI LIMEKANA KUWEPO KWA UCHOMAJI MOTO NYUMBA-Julai 25,2017

Baadhi ya Wakazi wa kata ya Litapunga iliyopo halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wamelalamikia zoezi la kuondolewa katika maeneo yanayodaiwa kuwa hifadhi ya misitu kwa kuchomewa nyumba zao.

MADIWANI NA WENYEVITI WA VIJIJI WILAYANI MLELE WAPIGWA MSASA MBINU ZA KUIBUA FURSA ZA MAENDELEO-Julai 25,2017.

Madiwani na wenyeviti wa vijiji katika halmashauri ya mlele mkoani Katavi wametakiwa kuwa mfano kwa wananchi katika kuibua na kubaini fursa za maendeleo.

SAFARI YA TRENI MPANDA-TABORA YAENDELEA BAADA YA AJALI ILIYOSABABISHA MABEHEWA KUDONDOKA-Julai 25,2017

Image
Treni inayosafiri kutoka Mpanda Mpaka Tabora (PICHA NA.Issack Gerald) WASAFIRI wanaotumia usafiri wa Treni kutoka Mpanda kuelekea Tabora jana wameanza safari baada ya kukwama tangu juzi kwa kile kinachoelezwa kuwa juzi kulitokea ajali iliyosababisha mabehewa ya mizigo kuanguka.