Posts

Showing posts from January 9, 2016

SERIKALI YATOA MILIONI 999,376,000/= KUGHARIMIA ELIMU BURE MKOANI MWANZA

Na.Issack Gerald-Mwanza. Serikali   ya awamu   ya Tano chini ya Raisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Josefu Magufuri Imetoa kiasi cha shilingi milioni 999,376,000 kwa ajiri ya kughalimia elimu kwa shule za msingi na Sekondari   kwa mwezi januari.

WAZIRI MKUU MAJALIWA AAGANA NA BALOZI WA NAMIBIA,AKUTANA NA BALOZI WA FINLAND NCHINI.

Image
Na.Issack Gerald-Katavi WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekuatana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Namibia ambaye anamaliza muda wake, Bwana Japhet Isaack.                                                                            Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na balozi Namibia nchini, Mhe. Japhet Isaack ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Januari 8, 2016

MATUKIO YA WIKI KUANZIA JUMATATU JANUARI 04— IJUMAA JANUARI 09,2015 MKOANI KATAVI NA TANZANIA KWA UJUMLA

NA.ISSACK GERALD BATHROMEO WAWILI MPANDA WAUAWA,WAUAJI WATOKOMEA KUSIKOJULIKANA NAO POLISI WASEMA HAPA KAZI TU Posted By: Issack Gerald | At: Monday, January 04, 2016 Na.Issack Gerald-MPANDA Watu wawili wamekutwa wakiwa wameuawa na watu wasiojulikana Wilayani Mpanda Mkoani Katavi baada ya kukatwa na vitu vyenye ncha kali Januari Mosi Mwaka huu.

TUME YA ARDHI MPANDA YATOA TAARIFA YA UCHUNGUZI MIGOGORO YA ARDHI KWA BAADHI YA VIJIJI

Na.Issack Gerald-Mpanda TUME ya uchunguzi wa migogoro ya ardhi imetoa taarifa baada ya kufanya uchunguzi katika vijiji vya Ikaka, Nkungu na Kapalamsenga wilayani Mpanda.

ASKARI 15 KATAVI WATUNUKIWA VYETI VYA HESHIMA POLICE FAMILY DAY,WAPANGA MIKAKATI YA KUKOMESHA UHARIFU

Na.Lutakilwa-Lutobeka-Katavi MAAFISA 15 wa jeshi la polisi mkoani Katavi wametunukiwa vyeti maalum vya utendaji kazi katika maadhimisho ya siku ya polisi yaliyofanyika leo mjini Mpanda.